Wednesday 15 May 2013

UNAFIKIRIA NINI JUU YA HAWA


                 Hakuna msaada bora kati ya misaada iliyo bora kama kujiajili wewe mwenyewe,wajasiliamali wadogowadogo ndio ngao na ndio nyenzo imara ya maendeleo  hivyo  basi ukiwa kama Mtanzania mzalendo unafikiri nini juu ya hili kuna maswali mengi unapaswa kujiuliza  kwa sababu gani?,kwa ajili gani?,kwanini?,je nitaweza? au itawezakana?Ni maswali yanayo umiza  vichwa vya watu walio wengi juu ya mawanda mapana   ya ujasiliamali ;hivi mjasiliamali ni nani?ana nini?anafanya nini  na anaweza nini?.Licha ya haya yote unapoamua kufanya  fanya na usiseme kuwa unajaribu kufanya maana utakwama.
 

No comments:

Post a Comment